MOTO
steve caver/

sTIVE FRIEND
Wednesday, October 17, 2012
Tuesday, October 9, 2012
Batuli kung'ara kwenye My Life
Mwanadada anyekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini ambaye kwa sasa amezidi kung'ara mara mbili ya mwanzo, Batuli amesema hivi sasa yupo Location kwaajili ya ujio wa filamu mpya ya My Life. Alisema filamu hiyo ambayo itazidi kumweka kwenye kiwango cha juu kutokana na kujituma kwa juhudi
Mama Mjata naye alikuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu hiyo
Diamond Plutnum kushoot Magwepande
Mwanamuziki ambaye kwa sasa analitikisa gemu la muziki wa kizazi kipya,
Naseeb Abdull 'Diamond Plutnum' amedokeza kidogo kwa kusema video yake
mpya ambayo aliifanyia Audition kwa mara ya....
kwanza, Nyumbani Lodge, anatarajia kuifanyia sehemu mbalimbali ikiwemo katika eneo la Magwepande. Diamondi alisema video hiyo ambayo kwake anaona itakuwa sehemu ya kuwapa ajira vijana wenzake wapatao ishirini, kumi wakiwa wanawake na kumi wanaume watakaoonekana kwenye video hiyo. Diamond alizidi kusisitiza kwamba video hiyo pia itafanywa nje ya nchi, ingawa kwa sasabado hajakuwa tayarikutaja nchi hiyo.
Mmoja ya washiriki wa Audition ambaye amefanana na Diamond Plutnum
kwanza, Nyumbani Lodge, anatarajia kuifanyia sehemu mbalimbali ikiwemo katika eneo la Magwepande. Diamondi alisema video hiyo ambayo kwake anaona itakuwa sehemu ya kuwapa ajira vijana wenzake wapatao ishirini, kumi wakiwa wanawake na kumi wanaume watakaoonekana kwenye video hiyo. Diamond alizidi kusisitiza kwamba video hiyo pia itafanywa nje ya nchi, ingawa kwa sasabado hajakuwa tayarikutaja nchi hiyo.
Mmoja ya washiriki wa Audition ambaye amefanana na Diamond Plutnum
Subscribe to:
Posts (Atom)