Mwanamuziki ambaye kwa sasa analitikisa gemu la muziki wa kizazi kipya,
Naseeb Abdull 'Diamond Plutnum' amedokeza kidogo kwa kusema video yake
mpya ambayo aliifanyia Audition kwa mara ya....
kwanza, Nyumbani Lodge, anatarajia kuifanyia sehemu mbalimbali ikiwemo katika eneo la Magwepande. Diamondi alisema video hiyo ambayo kwake anaona itakuwa sehemu ya kuwapa ajira vijana wenzake wapatao ishirini, kumi wakiwa wanawake na kumi wanaume watakaoonekana kwenye video hiyo. Diamond alizidi kusisitiza kwamba video hiyo pia itafanywa nje ya nchi, ingawa kwa sasabado hajakuwa tayarikutaja nchi hiyo.
Mmoja ya washiriki wa Audition ambaye amefanana na Diamond Plutnum
kwanza, Nyumbani Lodge, anatarajia kuifanyia sehemu mbalimbali ikiwemo katika eneo la Magwepande. Diamondi alisema video hiyo ambayo kwake anaona itakuwa sehemu ya kuwapa ajira vijana wenzake wapatao ishirini, kumi wakiwa wanawake na kumi wanaume watakaoonekana kwenye video hiyo. Diamond alizidi kusisitiza kwamba video hiyo pia itafanywa nje ya nchi, ingawa kwa sasabado hajakuwa tayarikutaja nchi hiyo.
Mmoja ya washiriki wa Audition ambaye amefanana na Diamond Plutnum
No comments:
Post a Comment