steve caver/

steve caver/

sTIVE FRIEND

Tuesday, October 9, 2012

Batuli kung'ara kwenye My Life


 Mwanadada anyekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini ambaye kwa sasa amezidi kung'ara mara mbili ya mwanzo, Batuli amesema hivi sasa yupo Location kwaajili ya ujio wa filamu mpya ya My Life. Alisema filamu hiyo ambayo itazidi kumweka kwenye kiwango cha juu kutokana na kujituma kwa juhudi
 Katika filamu hiyopia yupo Tafu, ambaye pia alikuwa Director wa ziada katika filamu hiyo ya My Life

 Mama Mjata naye alikuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu hiyo







No comments:

Post a Comment