Mwanadada anyekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini ambaye kwa sasa amezidi kung'ara mara mbili ya mwanzo, Batuli amesema hivi sasa yupo Location kwaajili ya ujio wa filamu mpya ya My Life. Alisema filamu hiyo ambayo itazidi kumweka kwenye kiwango cha juu kutokana na kujituma kwa juhudi
Mama Mjata naye alikuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu hiyo
No comments:
Post a Comment