Shirikisho la wasanii Tanzania 'TAFF' leo limefanya kikao ili kuweza
kuangalia ni jinsi gani wanaweza kuendesha shirikisho hilo, kutokana na
upungufu wa fedha walizokuwa nazo. Raisi wa shirikisho hilo Simon
Mwakifamba, alisema shirikisho hilo halitegemei fedha kutoka Serikalini
hivyo ni juhudi zao pekee ndizo zinazoweza kufanikisha kwao. Alisema pia
sheria mbalimbali zimekuwa zikiwabana, hivyo huu ni wakati wa wao
kuungana na kushikamana ili kuweza kupamba juu ya ufisadi wanaofanyiwa,
kwenye tasnia yao kuanzia kwenye sheria ambao inawapa nafasi kubwa
Wasambazaji kuwa na haki.
Dino akiwa na Cloud 112, wakifuatalia kikao
Dr Cheni akifuatilia kikao kwa umakini
Wasanii wakifuatitilia kikao
Nyerere the power akisikiliza mkutano ukiendelea
Dino akiwa na Cloud 112, wakifuatalia kikao
Dr Cheni akifuatilia kikao kwa umakini
Wasanii wakifuatitilia kikao
Nyerere the power akisikiliza mkutano ukiendelea
No comments:
Post a Comment