steve caver/

steve caver/

sTIVE FRIEND

Monday, January 28, 2013

Wasanii wafanya kweli Darlive

  Siku ya jumamosi ya majuzi wasanii wa filamu wote walikutana katika viwanja vya Dar Live katika tamsha la Siku ya Masuper Star Lengo kubwa lilikuwa kujenga urafiki na mashirikika mengine pamoja na kukusanya fedha zitakazo saidia kujenga Ofisi ya hadhi ya shirikisho la Wasanii maarufu kama TAFU chini ya raisi wa shirikisho hilo Simon Mwakifamba.  Katika tamasha hilo pia walimwarika Meya wa Ilala Jery Slaa, huku wasanii wenyewe ndio wakiwa watoa burudani wakubwa katika tamasha hilo

Picha zaidi za wasanii ndani ya ukumbi wa Darlive

















No comments:

Post a Comment