steve caver/

steve caver/

sTIVE FRIEND

Wednesday, January 9, 2013

Wanenguaji wa Extra Bongo, watua Twanga

  Bendi ya Twanga Pepeta, imepata wanenguaji wapya ambao wamepania kufanya makubwa kwenye bendi hiyo. Wanenguaji hao wametokea katika bendi ya Extra Bongo, wamesema lengolao kufanya makubwa katika bendi hiyo ya Asha Baraka.  Wanenguaji hao ni  Morine Mishebeduo, Happy wa Danger na Lightness


No comments:

Post a Comment